Habari mpasuko:Wafuwasi wa CHADEMA waandamana kwa Amani Mkoani Morogoro jioni hii. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Friday, September 14, 2012

Habari mpasuko:Wafuwasi wa CHADEMA waandamana kwa Amani Mkoani Morogoro jioni hii.



Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, John Heche akiongea na wafuasi wa Chadema kwenye ofisi za chama hicho eneo la Kingo.



Mama huyu nae aliamua kuwaunga mkono Wanachadema.


Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Morogoro, jioni hii wameandamana kwa amani kutoka maeneo ya Nane Nane walipokwenda kumpokea Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, John Heche hadi ofisi za makao makuu ya chama hicho ya mkoani hapa, yaliyopo mtaa wa Kingo. Baada ya kufika kwenye ofisi hizo, Heche alizungumza na wafuasi wa chama hicho.



Maandamano yakiongozwa na askari waliokuwa wakidumisha ulinzi.




 (PICHA ZOTE NA DUNSTAN SHEKIDELE / GPL).


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad