![]() | |
|
|
![]() |
|
Huku
maisha ni burudani kabisaaaaa. Na kando hapo kuna wazazi wanapiga makofi na
kuwatuza kabisaaaaa. Haya, huyu siku amekuwa mbunge, pale mjengoni patakalika
kweli?
|
Aidha Askofu
wa jimbo katoliki la Rulenge Ngara Severine
Niwemugizi amewataka watanzania kuungana kwa pamoja kuliombea taifa ili lipate
viongozi wanaojali utu na maisha ya mtanzania.
Akizungumza
katika mkutano mkuu wa shirika la moyo mtakatifu wa yesu mjini Biharamulo ,Askofu
Niwemugizi amesema taifa limeanza kuelekea pabaya kutokana na viongozi
wasiojali utu na maisha ya watanzania.
Amesema Tuyafanyayo
mengi bado ni mambo ya hovyo hovyo, na wenye kuongoza kuyafanya hayo ya hovyo
hovyo ni viongozi wetu.
![]() |
| Askofu Niwemugizi amesema wapo baadhi ya viongozi waliopewa madaraka kuwaongoza wananchi na kuwaletea maendeleo ambao badala yake wanawanyonya wananchi kwa kuweka mbele maslahi binafsi. |










No comments:
Post a Comment