![]() |
|
Makamu Mwenyekiti wa Yanga Clement Sanga akipokea nyaraka za
kukubali makabidhiano ya basi la Klabu hiyo toka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya
Bia Tanzania Robin Goetzche leo.
|
|
Mabasi
mawili ya kisasa ambayo yamekabidhiwa kwa Klabu za Simba na Yanga yakiwa
yameegeshwa katika viwanja vya aofisi za Kampuni ya Bia Tanzania kabla
hayajabandikwa nembo za Kilimanjaro Premium Lager na za klabu husika tayari kwa
hafla ya makabidhiano leo Ijumaa TBL
Ilala.
|
![]() |
|
Mashabiki.
|
![]() |
|
Popote
ukikatiza usafiri huu basi fahamu mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati wapo
njiani.
|
![]() |
|
Ukiliona
hili mtaani tambua mnyama mkali wekundu wa Msimbazi Simba anakatiza.
|
![]() |
| Aidha Kilimanjaro Premium Lager imedhamini klabu hizi hivi tangu mwaka 2008. |
















No comments:
Post a Comment