Boti hiyo ikishuhswa ambapo inaelezwa kuwa na uwezao wa kubeba abiria 12 na tani moja ambapo itakuwa mahususi kwa ajiri ya
kufanya doria za uvuvi katika mipaka ya
ziwa victoria wilayani Muleba.
|
Boti hiyo
imepokelewa leo May 25, 2018 katika mwalo wa Katembe na kufanyiwa majaribio kuelekea
katika mwalo wa Kyamkwikwi wilayani humo.
Picha Na Shafiru Yusuf – Muleba.
|
No comments:
Post a Comment