Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania,Mama Samia Suluhu Hassan akifafanua
jambo kwa kikundi cha Walemavu kutoka Mwembe Makumbi
kinachojishughulisha na kutengeneza viatu wakati alipotembelea maonyesho ya walemavu katika uwanja wa Skuli ya Uzini. Leo ni Siku ya Kimataifa ya Watu wenye Ulemavu Duniani na ambapo Kitaifa siku hii inaadhimishwa Mkoa wa Kusini Unguja na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ni mgeni rasmi. |
Sunday, December 03, 2017
Leo December 3 Ni siku ya Kimataifa ya Watu wenye Ulemavu Duniani.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment