

![]() |
|
Nae
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Ngara Bw.Aidan Bahama amesema
kwamba Serikali ya wilaya inatoa shilingi Milioni 1 kwa ajili ya huduma ya
kupata vyakula na huduma nyinginezo zinazohitajika.
Amesema kwa
kushirikiana na Kamati ya Maafa ya wilaya na Kamati ya Ulinzi na Usalama
wanafanya kila jitihada kusaidia wanafunzi hao kwa mahitaji ya aina yoyote sambamba
na kuwatia matumaini wazazi wao.
Mkuu wa wilaya
Ngara Luteni Kanali Michael Mtenjele amezidi kusisitiza kwa Wananchi kuwa ni marufuku
kufanya biashara ya vyuma chakavu wilayani humo na kila anayetaka kufanya shuguli hiyo
ajisajili kwa kupata kibali
lakini sio kuhusisha wanafunzi wa shule za msingi na sekondari.
|









No comments:
Post a Comment