![]() |
|
Timu ya Wanawake ya Ngara ,mkoani Kagera na wenzao wa Giterani Mkoani Muyinga nchini Burundi wakichuana katika mchezo wa kuvuta kamba Jana October 08,2017 Mjini Giteranyi.
Katika ziara
hiyo ;Ngara walifanikiwa Kushinda mchezo
wa Kuvuta kamba Wanaume kwa Alama 2 dhidi 1 ya Giteranyi-Burundi huku Wanawake Ngara wakishinda nao kwa Alama 2
-0.
Mchezo wa Kufukuza Kuku mshindi waliibuka Ngara kwa Msichana kumchukua Kuku wakati kwenye Kukimbia
kwenye Magunia Wanaume mshind wa Kwanza na wa Pili walitoka Ngara huku Kukimbia kwenye Magunia Wanawake Mshindi
wa Kwanza alitoka Ngara.
|


![]() |
| Timu ya Basketball ya Ngara ,mkoani Kagera wakipasha kabla ya kuja kufungwa na Giteranyi Vikapu 10 -0 Jana October 08,2017 Mjini Giteranyi. |
![]() |
| Mashabiki wengi walijitokeza kufatilia michezo mbalimbali kwa Timu ya Ngara ,mkoani Kagera na kupambana na wenzao wa Giterani Mkoani Muyinga nchini Burundi Jana October 08,2017 Mjini Giteranyi. |

![]() |
| Timu ya Giteranyi FC ya Mkoani Muyinga nchini Burundi wakicheza uwanja wao wa Nyumbani walifanikiwa kuwafunga Ngara Stars kwa bao 2-1. |

![]() |
| Dr David Mapunda (kushoto) toka Idara ya Afya Ngara ,mkoani Kagera akifatilia mchezo wa soka na wenzake wakati Giterani FC ya wilayani humo ikicheza dhidi ya Ngara Jana October 08,2017 Mjini Giteranyi. |


![]() |
| Katikati ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ngara ,mkoani Kagera Aidan Bahama (Mkuu wa Msafara wa ziara hiyo )akifatilia mpambano mkali wa soka kwenye uwanja wa Giterenyi akiwa na Mkuu wa wilaya ya Giteranyi Mkoani Muyinga nchini Burundi, Bi.Florida Shimilimana ( kulia). |





![]() |
|
Katika michezo
mingine ya Volleyball,Basketbal na Soka, Ngara na haikufanya vyema baada ya kuchakazwa michezo hiyo bila huruma kwa soka kuchapwa 2-1 na Giteranyi.
Akizungumzia
Matokeo hayo,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Ngara mkoani
Kagera ,Aidan Bahama amefafanua kuwa Changamoto kwenye michezo ya Volleyball,Basketball
ni kutofanya mazoezi, kukosa pumzi pamoja na Stamina na kuwataka wanamichezo
wilayani humo kuwa mazoezini wakati wote ili wanapoingia kwenye mashindano
yoyote waweze kuleta ushindani.
Nae Afisa
Michezo wilaya ya Ngara ,Said Salumu amesema kuwa watajipa upya kwa timu
zilizofanya vibaya kwenye ziara hiyo kwani mchezo wowote ni mchezo wa makosa yaani ukikosea Mwenzio anakufunga.
|
![]() |
| Aliyesimama ni cha mkuu wa Timu ya Giterani FC ya Giteranyi ,Mkoani Muyinga nchini Burundi. |
![]() |
| Seleman Ally Kocha mkuu wa imu ya Ngara Stars ya Ngara ,mkoani Kagera nchini Tanzania. |

















No comments:
Post a Comment