Picha-Gari la Tanesco Ngara lapata Ajali na Kujeruhi. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, October 30, 2017

Picha-Gari la Tanesco Ngara lapata Ajali na Kujeruhi.

Ajali hii imetokea leo October 30,2017 majira ya jioni  eneo la  njia panda ya Rulenge wilayani Ngara mkoani Kagera ambapo  gari  hili mali ya Shirika la  Tanesco Ngara namba SU 38141 limepata ajali na kujeruhi watu waliokuwemo ambao wamekimbizwa hospitali ya Nyamiaga kwa matibabu zaidi.

Habari toka eneo la tukio zinaeleza kuwa  hakuna kifo na chanzo cha ajali hiyo ni Utelezi uliosababishwa na kunyesha kwa mvua katika eneo hilo.

Habari zaidi tutakuletea zaidi hapa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad