Muonekano wa
gari la Singida United linaloratajiwa kutumiwa na wachezaji wa timu hiyo katika
msimu mpya wa Ligi kuu.
|
Katika basi
hiyo, Singida United imeweka picha za Rais wa timu hiyo, Mwingulu Nchemba
ambaye ni Waziri wa Mambo ya Ndani pamoja na picha ya mmiliki wa timu, Yusuf
Mwandami.
|
Meneja wa
klabu ya Singida United Festo Sanga akizungumza na waandishi wa habari wakati
wa kulitambulisha basi lao jipya litakalotumika kwa safari za ndani za timu ya
Singida United.
|
Basi hilo
aina ya Dragon lenye thamani ya Sh 350 milioni limezinduliwa rasmi na litaanza
kutumika katika safari za timu hiyo iliyopanda daraja msimu huu 2017/2018.
|
No comments:
Post a Comment