Ligi ya vijana wenye umri wa chini ya
miaka 20 kwa klabu zote za Ligi Kuu ya
Vodacom imeanza rasmi leo Novemba 15, 2016 kwa mchezo maalumu wa ufunguzi uliofanyika
Uwanja wa Kaitaba, Mjini Bukoba mkoani Kagera.
Kituo hicho
cha Bukoba mkoani Kagera ambako kuna
timu za Azam FC, African Lyon, Mbao FC, Toto Africans, Mwadui FC ya Shinyanga kama
ilivyo Stand United, -Timu ya Kagera Sugar na Young Africans zimefungua dimba kwa mchezo pekee katika
uwanja wa kaitaba uliyopo Manispaa
ya Bukoba ambapo timu hizo zimemaliza dk
90 kwa kutoshana nguvu ya goli 1-1 .
Bao la Yanga
SC U20 lilifungwa dakika ya 69 kipindi cha pili.
|
No comments:
Post a Comment