TAZAMA PICHA:-Ni Jezi zitakazotumiwa na Timu zote za Ligi kuu Msimu wa 2016/2017. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Friday, August 05, 2016

TAZAMA PICHA:-Ni Jezi zitakazotumiwa na Timu zote za Ligi kuu Msimu wa 2016/2017.

Wanamitindo wakionyesha jezi za African Lyon watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao wa 2016/2017 unaoanza mwishoni mwa mwezi huu katika hafla ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa timu zote za ligi kutoka kwa wadhamini, Vodacom Tanzania iliyofanyika Jana Agosti 04,2016 mjini Dar es Salaam , Vifaa hivyo vilivyokabidhiwa kwa timu zinazoshiriki ligi hiyo vina thamani ya shilingi milioni 514,208,400 /=.

Akikabidhi vifaa hivyo , jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha  Masoko na Mawasiliano wa kampuni hiyo,Nandi Mwiyombella ,alisema kuwa  kwa mara nyingine tena katika kuhakikisha ligi ya soka nchini inaenda vizuri Vodacom inakabidhi  vifaa mbalimbali vya ligi ambavyo ni jezi mbalimbali, viatu vya mazoezi na mechi, soksi, vilinda ugoko, nguo za mazoezi, nguo za kawaida, gloves na vifaa vingine vingi vinavyohitajika.

Wanamitindo wakionyesha jezi za Azam FC watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao
Wanamitindo wakionyesha jezi za Azam FC watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao
Wanamitindo wakionyesha jezi za Prisons FC watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao
  Wanamitindo wakionyesha jezi za timu mbalimbali watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao 2016/2017 katika hafla iliyofanyika leo mjini Dar es Salaam
Wanamitindo wakionyesha jezi za JKT Ruvu watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao
  Wanamitindo wakionyesha jezi za Majimaji watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao
  Wanamitindo wakionyesha jezi za Mbeya City watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao 2016/2017.
Wanamitindo wakionyesha jezi za Mtibwa Sugar watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao 2016/2017
  Wanamitindo wakionyesha jezi za Ndanda FC watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao 2016/2017
Wanamitindo wakionyesha jezi za Ruvu Shooting watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao 2016/2017
  Wanamitindo wakionyesha jezi za Simba SC watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao 2016/2017
  Wanamitindo wakionyesha jezi za Simba watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao 2016/2017
 Wanamitindo wakionyesha jezi za Simba watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao
 Wanamitindo wakionyesha jezi za Stand United watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao 2016/2017
Wanamitindo wakionyesha jezi za Toto Africans watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao
 Wanamitindo wakionyesha jezi za Marefa watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao 2016/2017
 Wanamitindo wakionyesha jezi za Yanga SC watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao 2016/2017

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad