TASWIRA PICHA:-Waumini wa dini ya kiilamu wakiwa katika kongamano la Kutathmini Ibada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani wilayani Ngara. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Tuesday, July 12, 2016

TASWIRA PICHA:-Waumini wa dini ya kiilamu wakiwa katika kongamano la Kutathmini Ibada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani wilayani Ngara.

Waumini wa dini ya kiilamu wakiwa katika kongamano la Kutathmini Ibada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ambapo picha ya kwanza ni Sheikh Mohamed Kipano ambaye ni Afisa Upelelezi wa Jeshi la Polisi wilayani Ngara ambapo Sheikh Mkuu wa wilaya ya Ngara , Sheikh Rajabu Msabaha ametoa wito kuimarisha amani, umoja na mshikamano miongoni mwa waislamu wa makundi mbalimbali pamoja na watanzania wengine waisio waislamu sambamba na kushirikiana na Vyombo vya dora Kupinga matendo maovu ya Uhalifu yanayohatarisha amani na usalama wilayani Ngara.




Umati wa Waumini wa Kiislamu wilayani Ngara mkoani Kagera wakiwa katika Viwanja Kokoto mjini Ngara wakishiriki Kongamano la Eid el Fitri iliyofanyika Kiwilaya July 06, 2016.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad