|
Messi akijaribu
kuwatoka mabeki wa Valencia.
|
|
Santi Mina
alionbgeza bao la pili kwa Valencia dakika ya 45 kabla ya kwenda mapumziko.
Lionel Messi
aliipa Barcelona Bao lao pekee katika Dakika ya 63 akifuta ukame wa kutofunga
katika Mechi 5 na hilo kuwa Goli lake la 500 katika maisha yake ya Soka.
|
|
Kwa kipigo
hicho,kimewaacha Barcelona bado wanaongoza La Liga 2015/2016 wakiwa Pointi sawa
na Atletico Madrid kwa Pointi 76 huku Real Madrid wakiwa na Pointi 75 nyuma yao na hali
hii inazidisha uhondo wa La Liga ambayo inaelekea ukingoni zikibakia Mechi 5
kwisha.
Jumatano,April
20,2016 Timu zote hizi 3 zote dimbani kwa Barcelona kucheza na Deportivo La
Coruna, Atletico Madrid kuwa Ugenini na Athletic Bilbao wakati Real Madrid wako
kwao kucheza na Villareal.
|





No comments:
Post a Comment