MKUTANO WA 3 BUNGE:-Kuanza mjini Dodoma kesho tarehe 19 Aprili 2016. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, April 18, 2016

MKUTANO WA 3 BUNGE:-Kuanza mjini Dodoma kesho tarehe 19 Aprili 2016.

Mkutano wa Tatu (3) wa Bunge la Kumi na Moja (11) unatarajia kuanza mjini Dodoma kesho tarehe 19 Aprili 2016. 

Mkutano huu ni mahususi kwa ajili ya kujadili na kupitisha Bajeti ya Serikali.

Wabunge wote wametakiwa kuwasili mjini Dodoma toka siku ya Jumapili tarehe 17 Aprili 2016.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad