
![]() |
|
Kwa matokeo,
Yanga SC italazimika kwenda kushinda ugenini ili kutimiza ndoto za kucheza hatua
ya makundi ya michuano hiyo kwa mara ya pili katika historia yao baada ya mwaka
1998.
Katika
mchezo wa leo, mabao yote yalipataka kipindi cha kwanza, Al Ahly wakitangulia
kufunga kupitia kwa mshambuliaji wake Amr Gamal dakika ya 11, kabla ya Yanga SC kusawazisha
kwa bao la Issoufou Boubacar dakika ya 33.
|










No comments:
Post a Comment