![]() |
|
Rais wa Kenya, Uhuru
Kenyatta akiweka saini ya Kanuni za Madili ya Mfuko wa Sekta Binafsi
wakati wa Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Mashariki
jijini Arusha leo Machi 02, 2016.
|
![]() |
| Rais wa Rwanda,Paul Kagama akiweka saini ya Kanuni za Madili ya Mfuko wa Sekta Binafsi wakati wa Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Mashariki jijini Arusha leo Machi 02, 2016. |
![]() |
|
Wanafunzi
walioshinda mashindano ya Insha ya EAC wakipata selfie na viongozi baada ya
Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Mashariki jijini Arusha
leo Machi 02, 2016.
|











No comments:
Post a Comment