![]() |
|
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - EAST
AFRICA
MSANII WA NIGERIA – RAVE AACHIA
WIMBO NA VIDEO MPYA YA ‘TONIGHT’
Cadilly Entertainment wanamleta
kwako msanii wa Nigeria, Wilfred Utere, anayejulikana zaidi kwa mashabiki
wake kwa jina la Rave akiwa na kazi yake mpya, iitwayo TONIGHT.
Mtumbuizaji huyo mwenye vipaji vingi vikiwemo uchezaji dansi na anajulikana
zaidi kwa kushinda shindano la kucheza muziki la Nigeria ‘National ‘Maltina
Dance All’ msimu wa nane (2014).
Video ya TONIGHT ilifanyika
huko Port Harcourt nchini Nigeria na kuongozwa na muongozaji mwenye kipaji,
Eddie iZcs wa EMPRESSIONISTO.
Kwenye TONIGHT, Rave
anaonesha mitindo ya kuvutia ya uchezaji unaofanya mashabiki waone upande wake
mwingine: muziki wa kipekee utakaokushawishi kuinuka na kucheza.
Rave
amepania kuleta uchezaji wake wa nguvu na muziki wake Afrika Mashariki.
Akitarajia kufanya ziara Afrika Mashariki, Rave anasema, “ Ndoto yangu
siku zote imekuwa kuwafikia na kuwahamasisha vijana, hivyo kitendo cha kuweza
kuwafikia vijana wa Afrika Mashariki, kimevuka matarajio yangu ya awali.
Ninachoweza kusema kwa sasa ni Asante Sana! Naahidi kuja na muziki mzuri, mpya
na wa tofauti.
Kupitia muziki wangu nataka kuonesha upande mwingine wa Afrika
kuwa ni sawa kutoka nje ya boksi na kufanya kitu tofauti.”
ITAZAME ‘TONIGHT’
YouTube: youtu.be/4sQnNASMVE0
Video ya kwenye simu: goo.gl/ffwZhp
Hulkshare: bit.ly/TonightRAVE
Wimbo wa TONIGHT na artwork
yake vimeambatanishwa kwenye email hii. Kuwa huru kusambaza uwezavyo kwenye
mitandao unayoitumia.
Mfollow @skytanzania kwenye
Instagram au soma makala zake mbalimbali kupitia bongo5.com
Entertainment & Music
Publicity
+254 721 368 983
"Life
shrinks or expands in proportion to one's courage." - Anais Nin
(French-Cuban Author)
|
Wednesday, March 02, 2016
MSANII WA NIGERIA:-RAVE na Video ya Wimbo ‘TONIGHT’
Tags
# WASANII
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
WASANII
Labels:
WASANII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.






No comments:
Post a Comment