TASWIRA PICHA:-Maadhimisho ya Miaka 39 ya CCM, Kitaifa Mkoani Singida leo February 06,2016. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, February 06, 2016

TASWIRA PICHA:-Maadhimisho ya Miaka 39 ya CCM, Kitaifa Mkoani Singida leo February 06,2016.


833A7159
Katibu Mku wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM,Rais Mstaafu wa awamu ya nne,Dkt Jakaya Kikwete mapema leo asubuhi ndani ya uwanja wa Namfua, kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa CCM mkoani Singida.

Maadhimisho Ya Miaka 39 Ya CCM Kitaifa Mkoani Singida (9)
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. Jakaya Kikwete akisalimiana na Mh. Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM na Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo mara baada ya kuwasili uwanjani hapo.

4
Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu wa awamu ya nne,Dkt Jakaya Kikwete akiwapungia mkono Wananchi waliofika kushuhudia maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa CCM mapema leo asubuhi ndani ya uwanja wa Namfua, mkoani Singida.

833A7103
Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli ukiwasili ndani ya uwanja wa Namfua mapema leo asubuhi kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa CCM mkoani Singida.

833A7123
Katibu Mku wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha Rais Dkt John Pombe Magufuli mapema leo asubuhi ndani ya uwanja wa Namfua, kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa CCM mkoani Singida.
Maadhimisho Ya Miaka 39 Ya CCM Kitaifa Mkoani Singida (3)
Mh.Rais Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Singida Mh. Dk. Parseko Kone.
Maadhimisho Ya Miaka 39 Ya CCM Kitaifa Mkoani Singida (5)

Rais Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri Mkuu Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa mara baada ya kuwasili uwanjani hapo katikati ni Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan.
Maadhimisho Ya Miaka 39 Ya CCM Kitaifa Mkoani Singida (10)
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. Jakaya Kikwete akizungumza na Mh. Rais John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais Mh.Mama Samia Hassan Suluhu, Kushoto ni Waziri Mkuu Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa.
Maadhimisho Ya Miaka 39 Ya CCM Kitaifa Mkoani Singida (11)
Baadhi ya wasanii wa Bongo Move waliohudhuria katika maadhimisho hayo kwenye uwanja wa Namfua mjini Singida.
Maadhimisho Ya Miaka 39 Ya CCM Kitaifa Mkoani Singida (12)
Makamu wa Rais Mh.Mama Samia Hassan Suluhu akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, pembeni ni Mh. Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM na Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo.
Maadhimisho Ya Miaka 39 Ya CCM Kitaifa Mkoani Singida (13)
Wananchi na wanachama wa CCM waliohudhuria kwenye sherehe hizo.
Maadhimisho Ya Miaka 39 Ya CCM Kitaifa Mkoani Singida (14)


Yamoto bendi wakifanya yao.

833A7196
Badhi ya Wananchi mbalimbali wakifuatilia yanayojiri ndani ya uwanja wa Namfua mkoani Singida hivi sasa.
833A7134
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Nape Nnauye akimkaribisha Rais Dkt John Pombe Magufuli mapema leo asubuhi ndani ya uwanja wa Namfua, kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa CCM mkoani Singid,pichani kati ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana.
833A7138
Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania,Dkt John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi alipokuwa akiwasilia mapema leo asubuhi ndani ya uwanja wa Namfua,mapema leo asubuhi ndani ya uwanja wa Namfua, kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa CCM mkoani Singida.

PICHA NA MICHUZI JR-MMG-SINGIDA.


 Pata Picha, Habari za  Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga  na Mimi Hapa...FACEBOOK .. TWITTER .. INSTAGRAM … Pia Usisite kututumia tukio la Picha/Habari  kwa WhatsApp +255789925630/+255756830214.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad