![]() |
|
Kesho Jumanne
na Jumatano Usiku kwa Timu zote 20
kushuka Uwanjani ambapo Vinara wa Ligi kuu,Leicester City Jumanne,Machi Mosi,2016 watakuwa kwao kucheza na
West Bromwich Albion.
Mechi
nyingine ni ile ambayo iko Old Trafford wakati Manchester United, wakitoka tu
kuitwanga Arsenal bao 3 -2 Jumapili, watacheza na Watford United.
LIGI KUU UINGEREZA 2015/2016 RATIBA.
Jumanne Machi 01,2016.
[Mechi zote kuanza 2245]
Aston Villa
v Everton
Bournemouth
v Southampton
Leicester v
West Brom
Norwich v
Chelsea
Sunderland v
Crystal Palace
Jumatano
Machi 02,2016.
2245 Arsenal
v Swansea
2245 Stoke v
Newcastle
2245 West
Ham v Tottenham
2300
Liverpool v Manchester City
2300 Manchester
United v Watford
Jumamosi Machi 05,2016.
1545
Tottenham v Arsenal
Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na Mimi Hapa...FACEBOOK .. TWITTER .. INSTAGRAM … Pia Usisite kututumia tukio la Picha/Habari kwa WhatsApp +255789925630 Or +255756830214.
|
Monday, February 29, 2016
EPL 2015/2016 RATIBA:-Ipo tena dimbani Jumanne na Jumatano Usiku kwa Timu zote 20.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.






No comments:
Post a Comment