![]() | |
Pia kwenye
Droo ya Nusu Fainali ya FA CUP, iliyofanyika mara baada ya Mechi hiyo, Arsenal watacheza
na Mshindi kati ya Bradford City au Reading ambao
Jumamosi March 07,2015, walitoka 0-0 kwenye Mechi yao ya Robo Fainali.
Nusu Fainali
nyingine itakuwa kati ya Mshindi wa Liverpool na Blackburn
Rovers, ambao nao walitoka 0-0, dhidi ya Aston Villa.
FA CUP RATIBA / MATOKEO - ROBO
FAINALI.
Jumamosi
Machi 7,2015.
Bradford 0 - 0 Reading
Aston Villa
2 - 0 West Brom
Jumapili
Machi 8,2015.
Liverpool 0 - 0 Blackburn
Jumatatu
Machi 9,2015.
Man United 1 - 2 Arsenal
TAREHE ZA
RAUNDI.
-Raundi
ya 6 [Robo Fainali]: 7
Machi 2015.
-Nusu
Fainali: 18
& 19 Aprili 2015
-Fainali: 30 Mei 2015.
|
Tuesday, March 10, 2015

Home
MICHEZO
FA CUP:-Hii ndio droo ya nusu fainali Arsenal kuwavaa Bradford or Reading huku Aston Villa uso na Liverpool or Blackburn at Wembley.
FA CUP:-Hii ndio droo ya nusu fainali Arsenal kuwavaa Bradford or Reading huku Aston Villa uso na Liverpool or Blackburn at Wembley.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment