Nafasi pekee
na safi waliyopata Aston Villa ya kufunga ni pale Kichwa cha Weimann kugonga Posti ya
Juu na kudunda chini nje ya Mstari wa Goli na kumwacha Mshambuliaji huyo asiamini
nini kimetokea.
|
![]() |
Liverpool
ndiyo timu nyingine yenye nafasi ya kutwaa ubingwa kama itashinda mechi ya
mwisho dhidi ya Newcastle na City wapoteze dhidi ya West Ham.
|
Katika
Mchezo wa Ligi ya Hispania Jana usiku-Mei 07,2014:-Matumaini ya Real Madrid
kutwaa taji la La liga yalifanywa kuwa magumu baada ya kulazimishwa kutoka sare
ya kufungana boa 1-1 na Real Valladolid katika mchezo wa ugenii.
lilikuwa ni
boa la Humberto Osorio dakika ya 85 lililoipokonya tonge mdomoni timu ya Kocha Carlo
Ancelotti, baada ya beki Sergio Ramos kufunga kwa staili ya mipira ya adhabu ya
Cristiano Ronaldo kuipa Real Madrid bao la kuongoza dakika ya 35.
MECHI
ZILIZOBAKI LA LIGA 2013/2014.
ATLETICO
MADRID
-Mei 11,2014:
Atletico v Malaga
-Mei 18,2014:
Barcelona v Atletico
REAL MADRID
-Mei
11,2014:Celta Vigo v Real
-Mei 18,2014:
Real v Espanyol
FC BARCELONA
-Mei 11,2014:
Elche v Barca
-Mei 18,2014:
Barca v Atletico
No comments:
Post a Comment