Serikali imetangaza watakaoingia kidato cha kwanza mwakani
kutokana na matokeo ya darasa la saba ambapo wanafunzi 427,609 kati
ya 844,938 waliofanya mtihani huo mwaka huu wamefaulu ikiwa ni asilimi
50.61 huku ikisisitiza hakuna asiyejua kusoma kuhesabu na kuandika.
Jumla ya wanafunzi 844,938 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha
kwanza mwakani katika shule za serikali kati ya wanafunzi 867,983 waliofanya
mtihani huo mwaka huu.
Akitangaza matokeo hayo katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa
na serikali za mitaa Bw. Jumanne Sagini amesema katika wanafunzi waliofaulu
16,482 wamekosa nafasi na kwamba watasubiri chaguo la pili na kwamba katika
mitihani hiyo vitendo vya udanganyifu vilipungua tofauti na mwaka jana.
>>>ZAIDI TAZAMA MATOKEO HAPA>>http://www.necta.go.tz/matokeo_html_2013/psle.htm
No comments:
Post a Comment