SOMA:Ujumbe wa Mbunge Zitto Kabwe kuhusu CHADEMA na NCCR-M kuwa na jumla ya madiwani 13 katika halmashauri ya Wilaya Uvinza Mkoani Kigoma. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, July 17, 2013

SOMA:Ujumbe wa Mbunge Zitto Kabwe kuhusu CHADEMA na NCCR-M kuwa na jumla ya madiwani 13 katika halmashauri ya Wilaya Uvinza Mkoani Kigoma.




Mbunge-Zitto Kabwe.
CHADEMA na NCCR-Mageuzi  tuna jumla ya madiwani 13 katika halmashauri ya Wilaya Uvinza. Ni mamlaka mpya inaanza tarehe 20 Julai, 2013.



CCM ina madiwani 8 tu, hivyo a clear majority kwa upinzani. CHADEMA ina madiwani 7, NCCR-Mageuzi  5 + Mbunge 1.



Leo (Julai 17,2013) sekretarieti za vyama vyetu zinakaa kuamua chama gani kati ya CHADEMA na NCCR-Mageuzi  kitoe Mwenyekiti, makamu na wenyeviti wa Kamati.



 Nimewaambia madiwani wetu kwamba Ni lazima kuhakikisha Halmashauri hii inaongozwa na Upinzani.



Tukiendekeza tamaa zetu za kisiasa CCM watapita katikati yetu.



CCM wakichukua Halmashauri ya Uvinza yenye madiwani wengi wa upinzani itakuwa Ni usaliti mkubwa Kwa wananchi.



Nimewasihi viongozi wa vyama vyote 2 kuwa na hekima na kuzingatia matakwa ya wananchi waliotoa ridhaa mwaka 2010 na hivyo CHADEMA na NCCR-Mageuzi kuongoza Halmashauri ya Wilaya Uvinza.



Ni jaribio la demokrasia, Hekima na Maamuzi.


Source:-akaunti ya Zitto Facebook.


CHADEMA na NCCR-M tuna jumla ya madiwani 13 katika halmashauri ya Wilaya Uvinza. Ni mamlaka mpya inaanza tarehe 20 Julai, 2013. CCM ina madiwani 8 tu, hivyo a clear majority kwa upinzani. CHADEMA ina madiwani 7, NCCR-M 5 + Mbunge 1. 

Leo sekretariat za vyama vyetu zinakaa kuamua chama gani kati ya CHADEMA na NCCR-M kitoe Mwenyekiti, makamu na wenyeviti wa Kamati. Nimewaambia madiwani wetu kwamba Ni lazima kuhakikisha Halmashauri hii inaongozwa na Upinzani. Tukiendekeza tamaa zetu za kisiasa CCM watapita katikati yetu. CCM wakichukua Halmashauri ya Uvinza yenye madiwani wengi wa upinzani itakuwa Ni usaliti mkubwa Kwa wananchi. Nimewasihi viongozi wa vyama vyote 2 kuwa na hekima na kuzingatia matakwa ya wananchi waliotoa ridhaa mwaka 2010 na hivyo CHADEMA na NCCR-M kuongoza Halmashauri ya Wilaya Uvinza. Ni jaribio la demokrasia, Hekima na Maamuzi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad