Mbunge-Zitto
Kabwe.
|
CHADEMA na
NCCR-Mageuzi tuna jumla ya madiwani 13 katika halmashauri ya Wilaya Uvinza. Ni
mamlaka mpya inaanza tarehe 20 Julai, 2013.
CCM ina
madiwani 8 tu, hivyo a clear majority kwa upinzani. CHADEMA ina madiwani 7,
NCCR-Mageuzi 5 + Mbunge 1.
Leo
(Julai 17,2013) sekretarieti za vyama vyetu zinakaa kuamua chama gani kati ya CHADEMA na NCCR-Mageuzi
kitoe Mwenyekiti, makamu na wenyeviti wa Kamati.
Nimewaambia madiwani wetu kwamba Ni lazima
kuhakikisha Halmashauri hii inaongozwa na Upinzani.
Tukiendekeza
tamaa zetu za kisiasa CCM watapita katikati yetu.
CCM
wakichukua Halmashauri ya Uvinza yenye madiwani wengi wa upinzani itakuwa Ni
usaliti mkubwa Kwa wananchi.
Nimewasihi
viongozi wa vyama vyote 2 kuwa na hekima na kuzingatia matakwa ya wananchi
waliotoa ridhaa mwaka 2010 na hivyo CHADEMA na NCCR-Mageuzi kuongoza Halmashauri ya
Wilaya Uvinza.
Ni jaribio
la demokrasia, Hekima na Maamuzi.
Source:-akaunti ya Zitto Facebook.
CHADEMA
na NCCR-M tuna jumla ya madiwani 13 katika halmashauri ya Wilaya
Uvinza. Ni mamlaka mpya inaanza tarehe 20 Julai, 2013. CCM ina madiwani 8
tu, hivyo a clear majority kwa upinzani. CHADEMA ina madiwani 7, NCCR-M
5 + Mbunge 1.
Leo sekretariat za vyama vyetu zinakaa kuamua chama gani kati ya CHADEMA na NCCR-M kitoe Mwenyekiti, makamu na wenyeviti wa Kamati. Nimewaambia madiwani wetu kwamba Ni lazima kuhakikisha Halmashauri hii inaongozwa na Upinzani. Tukiendekeza tamaa zetu za kisiasa CCM watapita katikati yetu. CCM wakichukua Halmashauri ya Uvinza yenye madiwani wengi wa upinzani itakuwa Ni usaliti mkubwa Kwa wananchi. Nimewasihi viongozi wa vyama vyote 2 kuwa na hekima na kuzingatia matakwa ya wananchi waliotoa ridhaa mwaka 2010 na hivyo CHADEMA na NCCR-M kuongoza Halmashauri ya Wilaya Uvinza. Ni jaribio la demokrasia, Hekima na Maamuzi.
Leo sekretariat za vyama vyetu zinakaa kuamua chama gani kati ya CHADEMA na NCCR-M kitoe Mwenyekiti, makamu na wenyeviti wa Kamati. Nimewaambia madiwani wetu kwamba Ni lazima kuhakikisha Halmashauri hii inaongozwa na Upinzani. Tukiendekeza tamaa zetu za kisiasa CCM watapita katikati yetu. CCM wakichukua Halmashauri ya Uvinza yenye madiwani wengi wa upinzani itakuwa Ni usaliti mkubwa Kwa wananchi. Nimewasihi viongozi wa vyama vyote 2 kuwa na hekima na kuzingatia matakwa ya wananchi waliotoa ridhaa mwaka 2010 na hivyo CHADEMA na NCCR-M kuongoza Halmashauri ya Wilaya Uvinza. Ni jaribio la demokrasia, Hekima na Maamuzi.
No comments:
Post a Comment