Kwenye Mechi za kwanza za Nusu
Fainali ya CAF CHAMPIONZ LIGI zilizochezwa hapo jana na leo matokeo yamekua ni ya sare kwa karibu mechi zote mbili baada ya wenyeji timu
ya Sunshine Stars kutoka 3-3 na Al Ahly ya
Misri jana ili hali leo huko Lubumbashi TP Mazembe nao kutoka sare ya 0-0 na Mabingwa watetezi
Esperance kwenye Mechi iliyotawala kwa Kadi huku Kadi 9 zikitembezwa mojawapo
ikiwa Kadi Nyekundu.
Wachezaji wa Mazembe waliopewa
Kadi za Njano ni pamoja na Kilitcho Kasusula,Mabi Mputu,Stopilla Sunzu,Ngandu
Kasongo na Stopilla Sunzu Kadi Nyekundu huku Wachezaji wa Esperance waliopewa
Kadi za Njano ni Derbali,Traoui,Ragued na Afful.
MARUDIANO
Jumamosi Oktoba
20
22:30 Espérance Sportive de Tunis
– Tunisia v TP Mazembe - Congo, The Democratic Republic Of The [Stade El
Menzah]
Jumapili Oktoba
21
20:30 Al Ahly – Egypt v Sunshine
Stars – Nigeria [Cairo International Stadium]
No comments:
Post a Comment