Rais Jakaya Kikwete akutana na Rais Joyce Banda mjini Maputo ,Msumbiji kuzungumzia suluhu ya mpaka wa ziwa Nyasa. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, August 18, 2012

Rais Jakaya Kikwete akutana na Rais Joyce Banda mjini Maputo ,Msumbiji kuzungumzia suluhu ya mpaka wa ziwa Nyasa.

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Malawi Mhe.Joyce Banda mjini Maputo Msumbiji walipokutana leo asubuhi kuzungumzia kutafuta suluhu katika mgogoro wa mpaka kati nchi hizo uliopo kwenye ziwa Nyasa.

Wakati wa mazungumzo hayo Marais hao wawili wameelezea nia ya nchi zao kufikia suluhu kwa njia za kidiplomasia kupititia kamati maalumu iliyoundwa kushughulikia mgogoro wa mpaka kati nchi hizo uliopo kwenye ziwa Nyasa.




Rais Dkt.Jakaya Kikwete akifafanua jambo mbele ya Wanahabari mapema leo asubuhi mjini Msumbiji,ambapo Rais Kikwete amekutana na Rais wa Malawi Mhe.Joyce Banda.

 




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad