Wanakijiji Kakonko Waungana Kujenga Zahanati na Shule. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Wednesday, September 05, 2018

demo-image

Wanakijiji Kakonko Waungana Kujenga Zahanati na Shule.

.com/simgad/
40760177_546218285814138_8912553727613730816_n

Wananchi wa Kijiji cha Nyamwilonge, Kata ya Nyamtukuza wilayani Kakonko mkoani Kigoma  wakimsikiliza Mkuu wa wilaya hiyo Kanali Hosea Ndagalla  alipofika kwa lengo la kiwasikiliza kero zao.

 Katika mkutano huo wahadhara uliofanyika kijijini humo September 4, 2018 Wananchi wa Kijiji hicho cha Nyamwilonge, wamebainisha kuwa hulazimika kutembea zaidi ya kilomita 18 kutafuta  huduma ya matibabu nje ya kijiji chao.
40971473_532594063854893_4878203191709138944_n
40790409_312533479553416_3204268344114937856_n
Hata hivyo kijiji hicho licha ya kuwa na wakaazi zaidi ya elfu tano tangu mwaka 2002 hawana shule ambapo watoto hulazimika kutumia majengo ya makanisa Kujifunza Kusoma,Kuandika Na Kuhesabu  kwa kutumia walimu wa kujitolea.
40841390_291409434783512_6482094071962664960_n
40848436_244089916249409_2104426016742047744_n
41099643_2143622755897414_798573688935940096_n
Kutatua changamoto hizo, Wananchi  hao wa Kijiji cha Nyamwilonge, Kata ya Nyamtukuza wilayani Kakonko mkoani Kigoma  wamemuomba Mkuu wa wilaya ,Kanali Hosea Ndagalla  kusaidia Jitihada zao ambazo wameanza kukusanya mawe,kokoto na mchanga na wametenga eneo la kuanza ujenzi wa Zahanati na Shule kufikia mwishoni wa mwezi huu wa 9 kwa nguvu zao.
41176020_2366998429984136_3850264217508642816_n

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *