Rais Magufuli Alivyompigia Simu Waziri Lukuvi na Kumtaka amsimamishe Kazi Kamishina wa Ardhi. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, September 05, 2018

Rais Magufuli Alivyompigia Simu Waziri Lukuvi na Kumtaka amsimamishe Kazi Kamishina wa Ardhi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi  kwa njia ya Simu leo September 5,2018 kuhusu mgogoro wa ardhi uliopelekea Bibi Nyasasi Masige mwenye kilemba aliyekaa kudai  kunyang’anywa Kiwanja chake Wilayani Bunda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Bibi Nyasasi Masige kiasi cha Shilingi laki tano ili zimsaidie mara baada ya kusikiliza kero yake ya madai ya kunyanga’nywa kiwanja chake. 

Rais Dkt. Magufuli ameagiza uchunguzi ufanyike haraka ili haki ya bibi huyo iweze kupatikana.

BOFYA PLAY HAPA KUTAZAMA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Bunda mjini wakati akiwa njiani kuelekea Musoma mkoani Mara.

PICHA NA IKULU.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad