Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia zoezi la
utiaji saini Mikataba mbalimbali ikiwemo Ujenzi wa Meli mpya ya abiria na
mizigo, Chelezo, ukarabati wa Meli za Mv Victoria na Mv Butiama, Mikataba
ambayo ilisainiwa kati ya Kampuni ya Huduma za Meli Tanzania Marine Services Company
(MSCL) na Kampuni tatu za Korea
Kusini ambazo ni M/S STX engine Co ltd, Saekyung Construction ltd na KTMI Co
ltd.
Awali
aktoa maelezo ya mikataba hiyo kabla ya kusainiwa Meneja wa Kamuni ya Huduma za
Meli hapa Nchini Bw Erick Hamis amemueleza Rais Magufuli kuwa meli hiyo kubwa
itakuwa na uwezo wa kubeba watu takribani 1,200 na tani 400 za mizigo pamoja na
magari madogo 20.
BOFYA PLAY HAPA CHINI KUMSIKILIZA BW.HAMIS. |
Tuesday, September 04, 2018
Rais Magufuli -Meli Mpya Kanda ya Ziwa Itapunguza Gharama za Usafirishaji.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment