Aporwa Fedha za Kanisa na Majambazi wilayani Kibondo. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Tuesday, September 04, 2018

Aporwa Fedha za Kanisa na Majambazi wilayani Kibondo.

Mfanyabishara Bi Anna Rukwakwa Mkazi wa Kibondo mkoani Kigoma amenusurika kifo baada ya kuvamiwa na watu anaosaidikiwa kuwa ni majambazi na kuondoka na kiasi  cha shilingi laki saba na elfu hamsini ,fedha ambazo zilikuwa mali ya kanisa.

BOFYA PLAY HAPA CHINI KUSIKILIZA RIPOTI YA MWANA HABARI WETU SAMUEL MASUNZU .


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad