Mzee Petro Magogwa Awaomba waliomuahidi kumjengea Nyumba na kumsaidia Kutimiza Ahadi zao. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Friday, August 31, 2018

demo-image

Mzee Petro Magogwa Awaomba waliomuahidi kumjengea Nyumba na kumsaidia Kutimiza Ahadi zao.

.com/simgad/
thumb_427_800x420_0_0_auto
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuri ya Wilaya ya Ngara Bw. Aidan John Bahama, alipoitembelea familia ya mtoto Anthony Petro, na kuahidi kwamba kwa kushirikiana na wadau wengine, watamsaidia kumhifadhi karibu na huduma za kijamii.
IMG-20180428-WA0007
Ujenzi huo unafanyika katika eneo jipya jirani na Kabanga mjini ambapo ujenzi huo kwa sasa umefikia hatua Lenta.

Mzee Petro Magogwa aliyetishiwa na mtoto wake Antony asiuze shamba vinginevyo atafikishwa kituo cha polisi ameomba waliomuahidi kumjengea nyumba na kumsaidia kutekeleza ahadi zao ili aache maisha ya kuhangaika.

Kutoka Wilayani  Ngara Mkoani Kagera  Mwanahabari wetu Shaaban  Ndyamukama  anataarifa  zaidi.

BOFYA KITUFE CHA PLAY KUSIKILIZA.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *