Uzibaji wa Sehemu ya Mto Ruvubu Wasababisha Mafuriko na kuathiri Mashamba na Matumizi ya MV RUVUBU. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, June 04, 2018

Uzibaji wa Sehemu ya Mto Ruvubu Wasababisha Mafuriko na kuathiri Mashamba na Matumizi ya MV RUVUBU.

Uzibaji wa Sehemu ya Mto Ruvubu ambako mradi wa kuzalisha na kusambaza umeme wa maji wa megawati 80 katika maporomoko ya maji ya Rusumo katika Mto Ruvubu/Kagera unaofanyika katika eneo la Rusumo wilayani Ngara,mkoani Kagera , kumesababisha Mafuriko na kuathiri Mashamba na Matumizi ya kivuko Cha MV RUVUBU.

Ujenzi wa mtambo ya kuzalisha umeme unatarajiwa kutekelezwa kwa miaka mitatu na utakamilika mwaka 2020.

Muonekano wa maji ya mto ruvubu yakiwa yamejaa kupita kiasi  na kusababisha  Kivuko cha MV RUVUBU kushindwa kufanya kazi yake kama kawaida  ambapo Wananchi mbalimbali  hukitumia kuvuka kama anaenda mpaka wa Rusumo kutalii au kufatilia mambo mbalimbali yaliyopo,yapo na yajayo hasa ukizingatia ni Mpakani mwa Tanzania na Rwanda.

 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad