![]() |
‘’Kutokana na Mvua zinazonyesha sasa maeneo mengi nchini, hali ni Mbaya barabara ya Nyakanazi(Kagera)
kwenda Kakonko (Kigoma), mamia ya wasafiri wamekuwa wakipata changamoto eneo
hilo baada ya kukwama wakitokea maeneo mbalimbali nchini hususani Kigoma,
Mwanza, Kahama na Kagera. Bila shaka TANROAD wanapaswa kuitazama kwa ukaribu
barabara hii wakati kasi ya mkandarasi wa barabara hii kutoka Nyakanazi hadi
Kabingo akiendeleza kujenga kwa kasi ndogo sana’’-Prosper Laurent Kwigize.
|
Post Top Ad
Thursday, March 29, 2018

Hali ya barabara ya Nyakanazi(Kagera) kwenda Kakonko (Kigoma).
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
Makala Inayofuata
Kurasa za Kisiasa, Dini, Uchumi na Michezo Magazetini March 29,2018.
Makala Iliyopita
Askofu Niwemugizi aongoza Mazishi ya Padri Mutabazi mjini Rulenge.
Muonekano wa Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
AnonymousDec 10, 2019Viongozi Wilayani Kasulu watakiwa Kuimarisha Usalama Katika Korongo la Bolelo.
AnonymousJun 29, 2019Shirika la Ndege la Tanzania Laanza Safari za Afrika Kusini Leo 28/06/2019.
AnonymousJun 28, 2019
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment