Watu 18
wamefariki dunia na wengine thelathini na watatu baada ya Basi la kukodi
linalobeba watalii kuanguka katika eneo la milima Kaskazini Mashariki mwa
Thailand.
Kituo cha
luninga cha PBS kimetangaza kuwa ajali hiyo ilitokea katika jimbo la Nakhon
Ratchasima.
Taarifa za
kituo hicho zimesema abiria wa basi walikuwa wakirejea katika jimbo la Kalasin
kutoka safari ya mbali wakielekea katika jimbo la Chanthaburi, lililo mpakani
mwa nchi ya Cambodia.
Takwimu za
Shirika la Afya Duniani WHO zinaonesha kuwa Thailand inashika nafasi ya pili
duniani kwa idadi kubwa ya vifo vya ajali za barabarni baada ya nchi ya Libya.
|
Thursday, March 22, 2018
Ajali ya Basi Thailand yaua 18.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment