Jesse Lingard
akishangilia baada ya kuifungia Manchester United mabao mawili dakika za 11 na
63 ikiwalaza wenyeji, Arsenal 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo
Uwanja wa Emirates, London.
Bao lingine la Man United iliyomaliza pungufu baada
ya kiungo wake, Paul Pogba kutolewa kwa kadi nyekundu ya moja kwa moja dakika
ya 74 kwa kumchezea tafu Hector Bellerin, lilifungwa na Alexandre
Lacazette dakika ya 49 akimalizia pasi ya Aaron Ramsey
|
Manchester
United Waliiadhibu safu ya ulinzi ya Arsenal na kuwa timu ya kwanza kupata
ushindi katika uwanja wa Emirates tangu mwezi Januari katika mojawapo ya mechi
za ligi ya Uingereza msimu huu.
HAPA NI MATOKEO YOTE YA MECHI ZA JANA JUMAMOSI.
|
No comments:
Post a Comment