Matokeo/Ratiba na Msimamo ulivyo wa Ligi Kuu soka Vodacom Tanzania bara 2017/2018. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, September 17, 2017

Matokeo/Ratiba na Msimamo ulivyo wa Ligi Kuu soka Vodacom Tanzania bara 2017/2018.

Mzimbabwe Donald Dombo Ngoma Jana September 16,2017 aliinusuru timu yake, Yanga SC kupoteza mechi mbele ya Maji Maji baada ya kuifungia bao la kusawazisha kipindi cha pili, timu hizo zikitoka sare ya 1-1 Uwanja wa Maji Maji mjini Songea katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.

Ngoma alifunga bao la kusawazisha dakika ya 79 kwa kichwa akimalizia krosi ya Mzambia, Obrey Chirwa huku  Maji Maji FC kutangulia kwa bao la Peter Mapunda dakika ya 54 akimalizia pasi ya mshambuliaji wa zamani wa Yanga SC, Jerson John Tegete kumtungua kipa Mcameroon Youthe Rostand.

Matokeo ya Mechi nyingine za Jana nimekuwekea hapo Juu na hapa chini ni Ratiba ya leo September 17,2017 na Msimamo ulivyo baada ya mechi za Jana.




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad