Kutoka kulia
ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilayani ya Ngara mkoani Kagera Mhe.Georgia Munyonyera
akisimama sambamba na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo na Diwani wa Kata ya Bukiriro Mhe.Eric Nkilamachumu.
Mhe.Georgia ambaye pia ni Diwani Viti Maalum ,amechaguliwa Agosti 16,2017 na Madiwani
wote 30 wa Chama cha Mapinduzi -CCM kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo
kwenye kikao cha baraza la Madiwani wilayani Ngara.
|
Baraza la Madiwani
la Halmashauri ya wilaya ya Ngara katika picha likiundwa na Madiwa wote 30 wakitoka Chama cha Mapinduzi -CCM.
|
No comments:
Post a Comment