Habari Mpasuko- Lori na Basi la ABOOD yagongana Kitonga na kujeruhi. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, September 17, 2017

Habari Mpasuko- Lori na Basi la ABOOD yagongana Kitonga na kujeruhi.

Ajali hiii imetokea eneo la Kitonga leo hii September 17,2017 muda  mchache ulio pita kati ya Lori na Basi mali ya Kampuni ya ABOOD.

 
Taarifa kutoka eneo la ajali zinasema kuwa dereva wa Lori ndiye kajeruhiwa sana.

Taarifa zaidi tutaendelea kukuletea hapa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad