Alexandre
Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Arsenal dakika ya 20 na
lingine dakika ya 67 kwa penalti katika ushindi wa 2-0 dhidi ya West Bromwich
Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza 2017/2018 Usiku wa Jana Jumatatu
September 25,2017.
Kubwa
lingine katika mchezo huo ni Alexandre Lacazzete anafikisha bao lake la 4 msimu
huu idadi sawa na mabao waliyofunga West Brom hadi sasa.
|
Tuesday, September 26, 2017
EPL 2017/2018 - Lacazette Aipa Arsenal Ushindi wa bao 2-0.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment