Bilioni 926 kuboresha Bandari ya Dar es salaam-TPA. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, July 03, 2017

Bilioni 926 kuboresha Bandari ya Dar es salaam-TPA.

Ujenzi wa ukarabati wa upanuzi wa bandari ya Dar es salaam umepangwa kufanyika kwa miezi 30 kuanzi sasa kwa gharama ya shilingi Bilioni 926.2.

 Rais Magufuli ameyasema hayo Jana July 02,2017 katika Eneo la Bandari ya Dar es Salaam alipokuwa akiweka jiwe la msingi la mradi wa uboreshaji wa bandari hiyo.

 Ambapo shilingi bilioni 132 zinatolewa na serikali ya Tanzania na shilingi bilioni 770 zinatolewa na mkopo wa masharti nafuu kutoka benki ya dunia na shilingi bilioni 24 ni msaada kutoka shirika la Maendeleo Uingereza.

Soma taarifa kamili:


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad