Taasisi ya MOONLIGHT
TRAINING CENTER –NGARA/KAGERA ni taasisi iliosajiliwa na serikali kupitia
Mkufunzi mkuu Mkazi wa mkoa na mkufunzi
mkuu mkazi Taifa kuendesha mafunzo ya
elimu ya sekondari kupitia mpango wa Elimu masafa na ana kwa ana yaani -Open and Ditance
Leaning (ODL)-katika ngazi mbalimbali ikiwemo mafunzo ya elimu ya
computer na wanao hitaji kujiendeleza kitaaruma.
Taasisi ya MOON LIGHT TRAINING CENTER inapenda kuwatangazia jamii
yote ya Ngara na Maeneo jirani kuwa, Tunawakaribisha kujiunga katika program
mbalimbali kama zinavyotolewa,
1.Masomo ya
kidato cha kwanza na kidato cha pili (Qualified Test QT) .
Sifa:
1. Awe amemalizadarasa la saba na anahitaji
kupata elimu ya sekondari (hatujali
umri wa mtu)
2.Ambaye amepata elimu ya sekondari katika
mfumo rasmi (kidato cha kwanza au cha pili)
lakini hakufanya mtihani wa taifa wa kidato cha pili.
2.Masomo ya
kidato cha tatu na kidato cha nne.
Sifa:
1.Ambaye amefaulu mtihani wa maarifa (QT) wa
Hatua ya I.
2.Ambayea mefaulu mtihani wa taifa wa kidato
cha pili.
3.Ambaye
anataka kurudia mtihani wa kidato cha nne.
3.Masomo
kidato cha tano na kidato cha sita
Sifa:
1. Awe ameshafanya mtihani wa kidato cha nne na
kupata angalau ufaulu wa C tatu na kuendelea.
2.Ambaye
anataka kurudia mtihani wa kidato cha sita.
4.Masomo ya
Computer katika hatua zote kwa mda wa miezi mitatu,sita na mwaka mmoja.
Sifa:
Awe amemaliza darasa la saba nakuendelea.
5.Masomo ya secretarial course kuanzia
miezi sita mpaka mwaka mmoja.
Sifa:
Awe amemaliza kidato cha nne na
kuendelea.
Taasisi ya
elimu ya MOONLIGHT TRAINING CENTER inapatikana gorofa ya kwanza katika jengo
la TTCL Ngara karibu na ofisi za TRA Ngara,barabara ya kenyata.
Fomu za
kujiunga zinapatikana kunzia sasa kwa gharama sh.5,000.
Ada na
michango mingine imefafanuliwa katika fomu ya maombi ya kujiunga na taasisi
yetu.
Tuna walimu
wenye sifa na taaluma,vitabu na nyenzo za kufundishia rafiki kwa wanafunzi,tunakuhakikishia
kukamilisha ndoto zako.
Kwa
mawasiliano unaweza kuwasiliana nasi kupitia: 0758421849au 0686706350
au
0752776718 au 0717254988.
Mafunzo
yameisha anza rasmi kuanzia tarehe 09 January 2017.
Wahi
kuchukua fomu nafasi ni chache.
“Tunamulika
na kufanikisha ndoto zako”
Wanafunzi
wote watafundishwa computa kama somo bure.
KARIBU SANA,
UPATE TAALUMA KWA GHARAMA NAFUU NA YENYE
TIJA KWA ZAMA HIZI ELIMU KWANZA.
|
No comments:
Post a Comment