''HAPA KAZI TU'':- Taswira Picha DC Mpya Ngara akabidhiwa Ofisi Leo Julai 05,2016 kutekeleza Majukumu ya Kazi. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Tuesday, July 05, 2016

''HAPA KAZI TU'':- Taswira Picha DC Mpya Ngara akabidhiwa Ofisi Leo Julai 05,2016 kutekeleza Majukumu ya Kazi.

Kushoto ni Mhe. Lt.Col. Michael Mangwela Mntenjele Mkuu wa Wilaya Mpya ya Ngara wa 19 tangu Wilaya hiyo kuanzishwa mwaka 1962 akikabidhiwa Ofisi na Aliyekuwa Mkuu wa wilaya Hiyo Mhe.Honoratha Chitanda kulia , leo Julai 05,2016.

Aidha mara baada ya hafla fupi ya kuapishwa Jana Julai 04,2016 na Mkuu wa mkoa wa Kagera ,tayari Wakuu hao wa Wilaya wako  katika vituo vyao vya kazi kuanza kutekeleza majukumu yao ya kazi.


Mhe. Lt.Col. Michael Mangwela Mntenjele Mkuu wa Wilaya  ya Ngara  na Aliyekuwa Mkuu wa wilaya Hiyo Mhe.Honoratha Chitanda katika picha ya Pamoja na Viongozi mbalimbali wa Kamati ya Ulinzi ya Wilaya nje ya Ofisi ya Mkuu wa wilaya Mjini Ngara leo Julai 05,2016.


Kushoto ni Mhe. Lt.Col. Michael Mangwela Mntenjele Mkuu wa Wilaya Mpya ya Ngara wa 19 tangu Wilaya hiyo kuanzishwa mwaka 1962  na Aliyekuwa Mkuu wa wilaya Hiyo Mhe.Honoratha Chitanda kulia, leo Julai 05,2016.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad