Ajali hiyo iliyotokea
Jana June 30, 2016 majira ya saa 9 Usiku baada ya tanker na Semi kugongana na
gari hizo kuwaka moto, baadaye kidogo Basi la OTTA lenye namba za Usajili T 201
DGK kutoka Bukoba kuelekea Dar likaigonga mojawapo ya gari zilizopata ajali kama
unavyoona kwenye picha.
Wito, Kama una ndugu unahisi au unafahamu
alikuwa anasafiri basi fanya mawasiliano naye mapema. TAARIFA HII KWA HISANI YA ROAD
SAFETY AMBASSADORS (RSA)-TANZANIA
|
Friday, July 01, 2016
AJALI / PICHA :-Magari matatu yasababisha vifo Morogoro.
Tags
# HABARI
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment