![]() |
Wabunge wa UKAWA wameendelea kususia
vikao vinavyoongozwa na Dk Tulia Ackson, lakini leo, June 21, 2016,wametoka
kimyakimya bila mbwembwe kama za jana,June 20,2016.
|
![]() |
Kwa sasa kamati ya uongozi ya umoja huo imeingia kufanya kikao kujadili mustakabali wao.
Mbunge wa Vunjo (NCCR-Mageuzi), Mhe.James Mbatia amesema watatoa taarifa kamili baada ya kumaliza kikao hicho.
|







No comments:
Post a Comment