MATUKIO YA BUNGE LEO JUNE 21, 2016:- Upinzani Watoka Bungeni Kimyakimya. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Tuesday, June 21, 2016

MATUKIO YA BUNGE LEO JUNE 21, 2016:- Upinzani Watoka Bungeni Kimyakimya.

Wabunge wa UKAWA wameendelea kususia vikao vinavyoongozwa na Dk Tulia Ackson, lakini leo, June 21, 2016,wametoka kimyakimya bila mbwembwe kama za jana,June 20,2016.
Kwa sasa kamati ya uongozi ya umoja huo imeingia kufanya kikao kujadili mustakabali wao.

Mbunge wa Vunjo (NCCR-Mageuzi), Mhe.James Mbatia amesema watatoa taarifa kamili baada ya kumaliza kikao hicho.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad