TAZAMA VIDEO / BUNGENI LEO:-‘Ikitokea uchochezi wowote tutashughulika na viongozi husika’ -Mwigulu Nchemba. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, June 30, 2016

TAZAMA VIDEO / BUNGENI LEO:-‘Ikitokea uchochezi wowote tutashughulika na viongozi husika’ -Mwigulu Nchemba.

Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi, Mhe Mwigulu Nchemba ametoa onyo kwa viongozi wa vyama vya siasa ambao wamekuwa wakishinikiza vurugu na kutotii amri ya serikali na kuagiza polisi kuwashughulikia kwanza viongozi wa misafara hiyo alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Ulanga CCM,Mhe.Goodluck Mlinga.

HAPA CHINI BOFYA KUTAZAMA VIDEO YA JIBU LA SWALI KUTOKA KWA WAZIRI NCHEMBA.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad