Usiku huu,Ujerumani
wanaongoza bao 3-0 dhidi ya Slovakia
huko Stade Pierre Mauroy, Lille na kisha baadae Hungary dhidi ya Belgium huko Stadium de
Toulouse Mjini Toulouse.
Raundi ya Mtoano ya
Timu 16 ya EURO 2016 itamalizika Jumatatu,June 27, 2016 kwa Mechi mbili , ya
kwanza ni kati ya Italia dhidi ya Mabingwa Watetezi Hispania itakayochezwa
Stade de France, Paris wakati ya mwisho ipo Mjini Nice kati ya Uingereza na
Iceland.
Washindi wa Raundi hii
watatinga Robo Fainali ambazo Mechi zake zitaanza Alhamisi,June 30, 2016.
|
No comments:
Post a Comment