LIGI KUU VODACOM 2015/2016:-Maotokeo mechi za Jana Februari 07 na Msimamo wake. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, February 08, 2016

LIGI KUU VODACOM 2015/2016:-Maotokeo mechi za Jana Februari 07 na Msimamo wake.


Kocha msaidizi wa Yanga Juma Mwambusi.

Mabingwa Watetezi wa Ligi kuu Vodacom Tanzania bara 2014/2015, Yanga SC wameendelea kuongoza Ligi, baada ya kuichapa JKT Ruvu ,magoli 4-0 Jana February 07,2016 kwenye Mechi iliyochezwa Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.

Bao za Yanga SC hii Leo zilifungwa mbili na Simon Msuva na nyingine kupitia Issofou Boubacar na Donald Ngoma.

Jackson Mayanja-Kocha wa Simba SC.

Huko mjini Shinyanga, Simba SC iliitungua Kagera Sugar kwa bao 1 – 0, la Ibrahim Ajib wakati Chamazi Complex, Jiji la Dar es Salaam, Azam FC iliitungua Mwadui FC bao 1-0 kwa goli la Kipre Tchetche.

Ushindi huu umewabakiza Yanga SC kileleni wakiwa na Pointi 43 kwa Mechi 18 wakifuatiwa na Simba SC wenye na Pointi 42 kwa Mechi 18 huku Azam FC ikiwa na Pointi 42 kwa Mechi 16.

Jumapili Februari 07,2016.

Mbeya City 0 – 0  Tanzania Prisons

Ndanda FC 1 – 1 Mtibwa Sugar       

Toto Africans 2 – 1 Coastal Union    

Majimaji 1 – 0 Mgambo JKT   


MSIMAMO.

Standings VPL 2015/2016.


Rnk
TeamMPWDLGFGA+/-Pts

1
Young Africans1813414293343

2
Simba SC18133233102342

3
Azam16133031102142

4
Mtibwa Sugar189632112933

5
Stand United179261713429

6
Tanzania Prisons178541817129

7
Mwadui188461916328

8
Toto African185671722-521

9
Mbeya City184681522-718

10
Ndanda183871619-317

11
Mgambo JKT184591523-817

12
Majimaji1844101131-2016

13
Kagera Sugar184311921-1215

14
Coastal Union182791120-913

15
African Sports183411519-1413

16
JKT Ruvu1834111733-1613

Pata Picha, Habari za  Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga  na Mimi Hapa...FACEBOOK .. TWITTER .. INSTAGRAM … Pia Usisite kututumia tukio la Picha/Habari  kwa WhatsApp +255789925630 Or+255756830214.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad