TAZAMA PICHA :-Wakati Wananchi walipofunga barabara Mkwajuni Dar es Salaam Leo January 18. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, January 18, 2016

TAZAMA PICHA :-Wakati Wananchi walipofunga barabara Mkwajuni Dar es Salaam Leo January 18.

Huu ni muonekano wa Hali ilivyokuwa si nzuri leo January 18,2016   katika eneo la Bonde la Mkwajuni, Kinondoni jijini Dar es salaam, wakati Wananchi waliobomolewa nyumba zao walipofunga barabara na kuchoma moto mataili pande zote za barabara

Jeshi la Polisi lilifika  eneo la tukio  kukabiliana na tukio hilo.
Hapa Chini Kuna Video Ya Tukio Hilo. Itazame Ujionee..

 
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za  Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga  na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630 .

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad