VPL 2015/2016:-Mtibwa Sugar waipa 1 - 0 Stand United na huu ndio Msimamo wa Ligi baada ya mechi za Jana January 30, 2016. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, January 31, 2016

VPL 2015/2016:-Mtibwa Sugar waipa 1 - 0 Stand United na huu ndio Msimamo wa Ligi baada ya mechi za Jana January 30, 2016.

Kiporo cha mechi ya Ligi Kuu Vodacom, VPL, iliyochezwa Jana January 30, 2016 huko Manungu, Morogoro, kati ya Mtibwa Sugar na Stand United na kuvunjika kutokana na Mvua kubwa huku Mtibwa Sugar wakiwa mbele kwa Bao 1-0 imemaliziwa Leo January 31, 2016 kwa Dakika zilizosalia ambapo hadi Dakika 90 zinamalizika Mtibwa Sugar walibakiwa na Bao lao lilelile la Jana hivyo kushinda 1-0 na kuzoa Pointi 3 ambazo zimewachimbia Nafasi ya 4 wakiwa Pointi 5 nyuma ya Timu ya 3 Simba na Pointi 8 nyuma ya Vinara Yanga SC.

Stand United wapo Nafasi ya 6 wakiwa Pointi 3 nyuma ya Mtibwa Sugar.

LIGI KUU VODACOM-2015/2016.

Ratiba.

Jumapili Januari 31,2016.

Mgambo JKT v Ndanda FC 

Kagera Sugar v Mbeya City 

Jumatano Februari 3,2016.

Kagera Sugar v Majimaji

Tanzania Prisons v Yanga

Simba v Mgambo JKT

JKT Ruvu v Mbeya City

African Sports v Mwadui FC

Mtibwa Sugar v Toto Africans

Azam FC v Stand United

Coastal Union v Ndanda FC 

Jumamosi Februari 6,2016.

Kagera Sugar v Simba 

Mbeya City v Tanzania Prisons

JKT Ruvu v Yanga

African Sports v Stand United

Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za  Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga  na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630 .

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad