TAZAMA PICHA:-TTCL yaitambulisha bidhaa ya 4G-LTE kwa Wateja. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Friday, January 29, 2016

TAZAMA PICHA:-TTCL yaitambulisha bidhaa ya 4G-LTE kwa Wateja.

Baadhi ya mabango yakiwa yamewekwa na Kamapuni ya TTCL katika maeneo ya makutano ya barabara Mwenge na Kawe jijini Dar es Salaam kuitambulisha bidhaa ya 4G-LTE kwa wateja wa jiji la Dar es salaam.
Baadhi ya mabango yakiwa yamewekwa na Kamapuni ya TTCL katika maeneo ya makutano ya barabara Mwenge na Kawe jijini Dar es Salaam kuitambulisha bidhaa ya 4G-LTE kwa wateja wa jiji la Dar es salaam.

Baadhi ya mabango yakiwa yamewekwa na Kamapuni ya TTCL katika maeneo ya makutano ya barabara Mwenge na Kawe jijini Dar es Salaam kuitambulisha bidhaa ya 4G-LTE kwa wateja wa jiji la Dar es salaam.
Baadhi ya mabango yakiwa yamewekwa na Kamapuni ya TTCL katika maeneo ya makutano ya barabara Mwenge na Kawe jijini Dar es Salaam kuitambulisha bidhaa ya 4G-LTE kwa wateja wa jiji la Dar es salaam.

 Ukienda kwenye ofisi zetu na vituo vya huduma kwa wateja utapata huduma hiyo mara moja” amesema Beda Kinunda Hivi karibu TTCL ilizindua huduma za 4G LTE kwa jiji la Dar es salaam ambayo inapatikana katika maeneo Posta(City Centre), Kariakoo, Upanga, Magomeni, Kijitonyama, Oysterbay, Ubungo, Mbezi, University of Dar es salaam, Pugu Road, Airport, Quality Centre, Kisutu, Mwananyamala, Kurasani na Tabata. Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) inatekeleza mkakati kabambe wa mabadiliko ya kibiashara wenye lengo mahsusi la kuleta mageuzi makubwa katika biashara ya mawasiliano simu na Data nchini.
Baadhi ya mabango yakiwa yamewekwa na Kamapuni ya TTCL katika maeneo ya makutano ya barabara Mwenge na Kawe jijini Dar es Salaam kuitambulisha bidhaa ya 4G-LTE kwa wateja wa jiji la Dar es salaam.
Baadhi ya mabango yakiwa yamewekwa na Kamapuni ya TTCL katika maeneo ya makutano ya barabara Mwenge na Kawe jijini Dar es Salaam kuitambulisha bidhaa ya 4G-LTE kwa wateja wa jiji la Dar es salaam. KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.


Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za  Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga  na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630 . 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad