Wakati hayo
yakiendelea, wabunge kadhaa wa UKAWA akiwemo mbunge wa Ubungo(CHADEMA), Saed
Kubenea walikuwa wakiomba muongo wa Naibu Spika ili waongee lakini hawakupewa
nafasi.
Hali hiyo
iliwakera wabunge wa upinzani kwa madai
kuwa wamezibwa midomo na hivyo wakaamua kutoka nje ya ukumbi wa bunge
>>>:-Wabunge
wa CCM wanaendelea kujadili Hotuba ya
Rais Magufuli aliyoitoa wakati wa ufunguzi wa Bunge hilo..''.
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii,
Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha
kwa WhatsApp +255789925630 .
|
Thursday, January 28, 2016
Home
MATUKIO
SIASA
KUTOKA DODOMA LEO JANUARY 28,2016:- Wabunge wa Upinzani Watoka Bungeni tena Baada ya Kunyimwa Muongozo ili Waongee.
KUTOKA DODOMA LEO JANUARY 28,2016:- Wabunge wa Upinzani Watoka Bungeni tena Baada ya Kunyimwa Muongozo ili Waongee.
Tags
# MATUKIO
# SIASA
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment